Kozi 15 – Sira Ya Mtume

Kozi 15 – Sira Ya Mtume

KiswahiliKiswahili
2,000 Wanafunzi, Beginner , Rekebisho la mwishoJuly 17, 2023 ,
You must enroll in this course to access course content.
You must enroll in this course to access course content.

Pakua Faili la PDF

Maelezo

Yeye  ni  Mtume  aliyetumwa  kwa   watu wote na yeye ndie Mtume  wa  mwisho na yeye ndio kiongozi wa mitume, amekuja na dini ya uislamu ambayo hatakubali Mwenyezi  Mungu Siku Ya Kiyama dini yeyote isipokuwa uislamu. Yeye amezaliwa katika kabila la Qureysh kabila tukufu katika mji wa Maka. Mtume ametokana katika ukoo wa Ibn Hashimu. Na ukoo huu umeitwa kwa jina hili kutokana na kurithi jina hili kutoka kwa mzee wao Hashim Ibn Abd Manaf. Mtume (s.a.w) alizaliwa siku ya juma tatu katika mweze rabil-awali (mfunguo sita) mwezi tisa (9) kwa mujibu wa wanahistoria katika mwaka wa tembo 571 B.K. baada ya kuzaliwa mama yake alituma mtu aende akatoe habari kwa mzee Abdul al-Muttalib juu ya kuzaliwa kwa mtoto. Kwa furaha kabisa alikuja mzee na akamchukuwa mtoto akambeba na kuelekea nae mbele za al-ka’aba (nymba tukufu ya Allah) kwa kutoa shukrani zake za dhati kwa Mwenyezi Mungu. Kisha akampa jina la Muhammad, jina ambalo halikuwa likijulikana na waarabu.  

 

Maudhui ya kozi

Jumla : 10 Mihadhara

Mwalimu wa kozi

  • Sh. Khalid Sinani

    Sh. Khalid Sinani

    Amejiunga 5 months Iliyopita
    2313 Wanafunzi
    2 Kozi
    Tazama Kozi zote

Sehemu

  • Muda Uliokadiriwa: 87 dakika
  • Mihadhara 10
  • Lugha KiswahiliKiswahili
  • Maswali 10
  • Kuonyesha masomo 0
  • Kiwango cha ujuzi Beginner
  • Wanafunzi 2,000

Kategoria

Programu

Lebo