kozi 3 – Twahara yako

kozi 3 – Twahara yako

KiswahiliKiswahili
2,176 Wanafunzi, Intermediate , Rekebisho la mwishoJuly 17, 2023 ,
You must enroll in this course to access course content.
You must enroll in this course to access course content.

Pakua Faili la PDF

Maelezo

Allah amemuamrisha Muislamu kuusafisha moyo wake uondokane na maradhi ya nyoyo, kama: husda, kiburi na mfundo. Pia kuusafisha mwili wake uondokane na najisi na uchafu. Muislamu akifanya hayo, atastahiki kupata mapenzi ya Allah, kama Allah alivyosema kwamba: «Kwa yakini, Allah anawapenda wenye kutubu sana na anawapenda wenye kujitwaharisha». (Sura Albaqara, aya 222). Maana ya twahara Kujisafisha najisi Hadathi Natawadha vipi?

Maudhui ya kozi

Jumla : 8 Mihadhara

Mwalimu wa kozi

  • Sh. Ali Zuberi

    Sh. Ali Zuberi

    Amejiunga 5 months Iliyopita
    2188 Wanafunzi
    2 Kozi
    Tazama Kozi zote

Sehemu

  • Muda Uliokadiriwa: dakika 61.96
  • Mihadhara 8
  • Lugha KiswahiliKiswahili
  • Maswali 8
  • Kuonyesha masomo 0
  • Kiwango cha ujuzi Intermediate
  • Wanafunzi 2,176

Kategoria

Programu

Lebo