You must enroll in this course to access course content.
Pakua Faili la PDF
Maelezo
Allah amefaradhisha kwa Waislamu kufunga mwezi mmoja katika mwaka. Ni mwezi wa Ramadhan uliobarikiwa. Ameufanya kuwa ni nguzo ya nne katika nguzo za Uislamu na ni katika majengo yake makubwa. Allah Mtukufu amesema kuwa: «Enyi ambao mmeamini, imefaradhishwa kwenu funga kama ilivyo faradhishwa kwa waliokuwepo kabla yenu, ili mpate kuwa kumuogopa Allah». (Sura Albaqara, aya 183) Mwezi wa Ramadhan ni mwezi wa tisa katika miezi ya mwezi muandamo katika kalenda ya Kiislamu.
Maudhui ya kozi
Jumla : 10 Mihadhara
MAANA YA FUNGA
You must enroll in this course to access course content.
1 ya 0
UBORA WA MWEZI WA RAMADHAN
You must enroll in this course to access course content.
2 ya 0
HUKMU YA KUFUNGA
You must enroll in this course to access course content.
3 ya 0
UBORA WA FUNGA
You must enroll in this course to access course content.
4 ya 0
VIFUNGUZI
You must enroll in this course to access course content.
1 ya 0
VIFUNGUZI (2)
You must enroll in this course to access course content.
2 ya 0
WALIOPEWA UDHURU KUHUSU FUNGA
You must enroll in this course to access course content.
3 ya 0
WANAOKULA MCHANA WA RAMADHANI BILA UDHURU
You must enroll in this course to access course content.
4 ya 0
Mwalimu wa kozi
Sehemu
- Muda Uliokadiriwa: 80 dakika
- Mihadhara 10
-
Lugha
Kiswahili
- Maswali 10
- Kuonyesha masomo 0
- Kiwango cha ujuzi Beginner
- Wanafunzi 2,176