kozi 5 – Zaka yako

kozi 5 – Zaka yako

KiswahiliKiswahili
1,934 Wanafunzi, Intermediate , Rekebisho la mwishoJuly 17, 2023 ,
You must enroll in this course to access course content.
You must enroll in this course to access course content.

Pakua Faili la PDF

Maelezo

Allah amefaradhisha Zaka na kuifanya nguzo ya tatu katika nguzo za Uislamu, amemuahidi adhabu kali mwenye kuacha kutoa Zaka, ameufungamanisha udugu wa Kiislamu kwa kutubu, kuswali na kutoa zaka, kama Allah alivyosema kuwa: «Ikiwa watatubu na wakasimamisha swala na wakatoa zaka, basi hao ni ndugu zenu katika dini». (Sura Attauba, aya 11) Pia Mtume, swallalahu alayhi wasalam, amesema kuwa: «Uislamu umejengwa juu ya mambo matano.... na kusimamisha swala na kutoa zaka». (Bukhari, Hadithi Na. 8. Muslim, Hadithi Na. 16) Makusudio ya zaka Mali zinazo wajibika kutolewa zaka Nani anapewa zaka?

Maudhui ya kozi

Jumla : 9 Mihadhara

Mwalimu wa kozi

  • Sh. Mohamed Ally

    Sh. Mohamed Ally

    Amejiunga 5 months Iliyopita
    1941 Wanafunzi
    3 Kozi
    Tazama Kozi zote

Sehemu

  • Muda Uliokadiriwa: dakika 75.59
  • Mihadhara 9
  • Lugha KiswahiliKiswahili
  • Maswali 9
  • Kuonyesha masomo 0
  • Kiwango cha ujuzi Intermediate
  • Wanafunzi 1,934

Kategoria

Programu

Lebo