You must enroll in this course to access course content.
Pakua Faili la PDF
Maelezo
Allah amefaradhisha Zaka na kuifanya nguzo ya tatu katika nguzo za Uislamu, amemuahidi adhabu kali mwenye kuacha kutoa Zaka, ameufungamanisha udugu wa Kiislamu kwa kutubu, kuswali na kutoa zaka, kama Allah alivyosema kuwa: «Ikiwa watatubu na wakasimamisha swala na wakatoa zaka, basi hao ni ndugu zenu katika dini». (Sura Attauba, aya 11) Pia Mtume, swallalahu alayhi wasalam, amesema kuwa: «Uislamu umejengwa juu ya mambo matano.... na kusimamisha swala na kutoa zaka». (Bukhari, Hadithi Na. 8. Muslim, Hadithi Na. 16) Makusudio ya zaka Mali zinazo wajibika kutolewa zaka Nani anapewa zaka?
Maudhui ya kozi
Jumla : 9 Mihadhara
Mwalimu wa kozi
Sehemu
- Muda Uliokadiriwa: dakika 75.59
- Mihadhara 9
-
Lugha
Kiswahili
- Maswali 9
- Kuonyesha masomo 0
- Kiwango cha ujuzi Intermediate
- Wanafunzi 1,934