Kozi 7- Hijja yako

Kozi 7- Hijja yako

KiswahiliKiswahili
2,074 Wanafunzi, Beginner , Rekebisho la mwishoJuly 17, 2023 ,
You must enroll in this course to access course content.
You must enroll in this course to access course content.

Mahitajio:

Kabla ya kuanza kozi hii, lazima ukamilishe kozi zilizotangulia Kozi 6 – Funga yako

Pakua Faili la PDF

Maelezo

Kuhiji Makka ni nguzo ya tano katika nguzo za Uislamu, na ni ibada inayo kusanya aina kadhaa za ibada za kimwili, kiroho na mali. Ni wajibu kutekeleza kwa mwenye uwezo wa mali na afya mara moja tu katika umri.Allah amesema kuwa: «Na ni wajibu kwa watu kwa ajili ya Allah kuhiji Nyumba (Tukufu ya Makka); kwa mwenye uwezo wa kwenda huko. Na mwenye kupinga, basi Allah ni mwenye kujitosheleza na (hana haja na) walimwengu». (Sura Aal-imran, aya 97). Utukufu wa mji wa Makka na Msikiti Mtukufu Maana ya hija Hali za uwezo kwa Muislamu kwenda hija Fadhila za hija Namna ya Kuhiji Umra Makusudio ya hija Kutembela mji wa Madina

Maudhui ya kozi

Jumla : 9 Mihadhara

Mwalimu wa kozi

  • Sh. Tawakal Hussein Juma

    Sh. Tawakal Hussein Juma

    Amejiunga 5 months Iliyopita
    2074 Wanafunzi
    2 Kozi
    Tazama Kozi zote

Sehemu

  • Muda Uliokadiriwa: 72
  • Mihadhara 9
  • Lugha KiswahiliKiswahili
  • Maswali 9
  • Kuonyesha masomo 0
  • Kiwango cha ujuzi Beginner
  • Wanafunzi 2,074

Kategoria

Programu

Lebo