You must enroll in this course to access course content.
Mahitajio:
Kabla ya kuanza kozi hii, lazima ukamilishe kozi zilizotangulia Kozi 6 – Funga yako
Pakua Faili la PDF
Maelezo
Kuhiji Makka ni nguzo ya tano katika nguzo za Uislamu, na ni ibada inayo kusanya aina kadhaa za ibada za kimwili, kiroho na mali. Ni wajibu kutekeleza kwa mwenye uwezo wa mali na afya mara moja tu katika umri.Allah amesema kuwa: «Na ni wajibu kwa watu kwa ajili ya Allah kuhiji Nyumba (Tukufu ya Makka); kwa mwenye uwezo wa kwenda huko. Na mwenye kupinga, basi Allah ni mwenye kujitosheleza na (hana haja na) walimwengu». (Sura Aal-imran, aya 97). Utukufu wa mji wa Makka na Msikiti Mtukufu Maana ya hija Hali za uwezo kwa Muislamu kwenda hija Fadhila za hija Namna ya Kuhiji Umra Makusudio ya hija Kutembela mji wa Madina
Maudhui ya kozi
Jumla : 9 Mihadhara
Mwalimu wa kozi
Sehemu
- Muda Uliokadiriwa: 72
- Mihadhara 9
-
Lugha
Kiswahili
- Maswali 9
- Kuonyesha masomo 0
- Kiwango cha ujuzi Beginner
- Wanafunzi 2,177