You must enroll in this course to access course content.
Pakua Faili la PDF
Maelezo
Uislamu umeweka kanuni na sheria zote ambazo zinamlida mwanadamu na pia kulinda haki zake za mali na kazi; sawa mwanadamu awe tajiri au masikini. Pia kanuni na sheria hizi zina mchango katika kuifanya jamii iwe na mashikamano na na maendeleo katika nyanja zote za maisha. Msingi katika miamala yote ya kifedha ikiwa ni pamoja biashara, kukodisha na mashirikiano mengine ambayo watu wanashirikiana na kuyahitaji ni kwamba ni halali na yanaofaa, isipokuwa tu mambo machache yaliyo tolewa na ambayo yenyewe ni haramu au yamekuwa haramu kwa sababu ya njia iliyo tumika katika kuyapata.
Maudhui ya kozi
Jumla : 13 Mihadhara
MISINGI YA UISLAMU KATIKA MIKATABA
You must enroll in this course to access course content.
1 ya 0
VIPATO VYA HARAMU
You must enroll in this course to access course content.
2 ya 0
VIPATO VYA HARAMU (2)
You must enroll in this course to access course content.
3 ya 0
RIBA
You must enroll in this course to access course content.
4 ya 0
RIBA (2)
You must enroll in this course to access course content.
5 ya 0
MADHARA YA RIBA
You must enroll in this course to access course content.
6 ya 0
Mwalimu wa kozi
Sehemu
- Muda Uliokadiriwa: 115 dakika
- Mihadhara 13
-
Lugha
Kiswahili
- Maswali 13
- Kuonyesha masomo 0
- Kiwango cha ujuzi Beginner
- Wanafunzi 2,320